Ayubu 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Wao hupapasa gizani,+ pasipo na nuru,Ili aweze kuwafanya watange-tange kama mlevi.+ Methali 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Njia ya waovu ni kama giza;+ hawajui ni nini kinachoendelea kuwakwaza.+