Isaya 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Leteni maji ili mkampokee mwenye kiu. Enyi wakaaji wa nchi ya Tema,+ mpokeeni mtu anayekimbia mkiwa na mkate kwa ajili yake. Yeremia 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 na Dedani+ na Tema+ na Buzi na wale wote wenye nywele zilizokatwa kwenye vipaji vya nyuso;+
14 Leteni maji ili mkampokee mwenye kiu. Enyi wakaaji wa nchi ya Tema,+ mpokeeni mtu anayekimbia mkiwa na mkate kwa ajili yake.