26 juu ya Misri+ na juu ya Yuda+ na juu ya Edomu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Moabu+ na juu ya wote wenye nywele zilizokatwa kwenye vipaji vya nyuso wanaokaa nyikani;+ kwa maana mataifa yote hayakutahiriwa, na nyumba yote ya Israeli hawakutahiriwa moyoni.”+
32 Na ngamia+ zao wataporwa, na makundi yao yaliyo mengi yatakuwa nyara. Nami nitawatawanya kwa kila upepo,+ wale ambao nywele zao zimekatwa kwenye vipaji vya nyuso;+ nami nitaleta maafa yao kutoka katika maeneo yote karibu nalo,” asema Yehova.