Yeremia 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+ Habakuki 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Alisimama tuli, apate kuitikisa dunia.+ Aliona, kisha akayarusha mataifa.+ Na milima ya milele ikavunjwa;+ vilima vinavyodumu kwa wakati usio na kipimo vikainama.+ Miendo ya zamani za kale ni yake.
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+
6 Alisimama tuli, apate kuitikisa dunia.+ Aliona, kisha akayarusha mataifa.+ Na milima ya milele ikavunjwa;+ vilima vinavyodumu kwa wakati usio na kipimo vikainama.+ Miendo ya zamani za kale ni yake.