58 Kwa mfano, wakati unapoenda kwa mtawala pamoja na mshitaki wako, anza kazi, mkiwa njiani, kujiondolea mwenyewe ubishi pamoja naye, ili asikukokote mpaka mbele ya hakimu, naye hakimu akukabidhi kwa ofisa wa mahakama, na ofisa wa mahakama akutupe gerezani.+