22 “‘Lakini hata ukijiosha kwa magadi na kujichukulia kiasi kikubwa cha sabuni,+ kosa lako hakika lingekuwa doa mbele zangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
2 “Lakini ni nani atakayeistahimili siku ya kuja kwake,+ naye ni nani atakayesimama wakati atakapoonekana?+ Kwa maana atakuwa kama moto wa msafishaji+ na kama sabuni+ ya wafuaji wa nguo.+