Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Je, sina akiba yake,

      Muhuri ukiwa umetiwa juu yake katika ghala langu?+

  • Ayubu 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Maasi yangu yamefungwa kwa muhuri katika mfuko,+

      Nawe unatia gundi juu ya kosa langu.

  • Zaburi 90:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Umeyaweka makosa yetu moja kwa moja mbele zako,+

      Mambo yetu yaliyofichika mbele za uso wako unaong’aa.+

  • Yeremia 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana macho yangu yako juu ya njia zao zote. Hawakufichwa kutoka mbele zangu, wala kosa lao halikufichwa kutoka mbele za macho yangu.+

  • Hosea 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Kosa la Efraimu limefungwa, dhambi yake imewekwa akiba kama hazina.+

  • Amosi 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Yehova ameapa kwa Ukuu wa Yakobo,+ ‘Kamwe sitazisahau kazi zao zote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki