Yeremia 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Dhambi ya Yuda imeandikwa kwa kalamu ya chuma.+ Imechongwa kwa ncha ya almasi juu ya bamba la moyo wao,+ na juu ya pembe za madhabahu zao,+ Hosea 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Walizidi kunitolea dhabihu ya nyama kuwa dhabihu za zawadi,+ nao wakaendelea kula vitu ambavyo Yehova hakufurahia.+ Sasa atakumbuka kosa lao na kutoza hesabu kwa sababu ya dhambi zao.+ Ndipo wao waliporudi Misri.+ Nahumu 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova si mwepesi wa hasira+ naye ni mkuu katika nguvu,+ wala hatasita kamwe kuadhibu.+ Njia yake imo katika upepo wenye kuharibu na katika dhoruba, na wingu kubwa ndilo mavumbi ya miguu yake.+
17 “Dhambi ya Yuda imeandikwa kwa kalamu ya chuma.+ Imechongwa kwa ncha ya almasi juu ya bamba la moyo wao,+ na juu ya pembe za madhabahu zao,+
13 Walizidi kunitolea dhabihu ya nyama kuwa dhabihu za zawadi,+ nao wakaendelea kula vitu ambavyo Yehova hakufurahia.+ Sasa atakumbuka kosa lao na kutoza hesabu kwa sababu ya dhambi zao.+ Ndipo wao waliporudi Misri.+
3 Yehova si mwepesi wa hasira+ naye ni mkuu katika nguvu,+ wala hatasita kamwe kuadhibu.+ Njia yake imo katika upepo wenye kuharibu na katika dhoruba, na wingu kubwa ndilo mavumbi ya miguu yake.+