Methali 17:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hata mtu mpumbavu, anapokaa kimya, ataonwa kuwa mwenye hekima;+ yeyote anayefunga midomo yake, ataonwa kuwa mwenye uelewaji. Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+
28 Hata mtu mpumbavu, anapokaa kimya, ataonwa kuwa mwenye hekima;+ yeyote anayefunga midomo yake, ataonwa kuwa mwenye uelewaji.
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+