Zaburi 82:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mtaendelea kuhukumu bila haki mpaka wakati gani+Na kuonyesha ubaguzi kwa waovu?+ Sela. Yakobo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mkiendelea kuonyesha upendeleo,+ mnafanya dhambi, kwa maana sheria+ inawakaripia ninyi kuwa ni wakosaji.
9 Lakini mkiendelea kuonyesha upendeleo,+ mnafanya dhambi, kwa maana sheria+ inawakaripia ninyi kuwa ni wakosaji.