Ayubu 9:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Acha aiondoe fimbo yake kutoka juu yangu,+Na kuogopesha kwake, kusinitie hofu. Zaburi 119:120 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+ Waebrania 10:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ni jambo lenye kuogopesha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.+
120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+