Ayubu 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Katika majira yake hiyo hukosa maji,+ imenyamazishwa;Kunapokuwa na joto kali hiyo hukaushwa kutoka mahali pake.+ Yeremia 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa nini maumivu yangu yamekuwa yenye kudumu+ na pigo langu haliponi?+ Limekataa kupona. Hakika wewe unakuwa kwangu kama udanganyifu,+ kama maji yasiyotegemeka.+
17 Katika majira yake hiyo hukosa maji,+ imenyamazishwa;Kunapokuwa na joto kali hiyo hukaushwa kutoka mahali pake.+
18 Kwa nini maumivu yangu yamekuwa yenye kudumu+ na pigo langu haliponi?+ Limekataa kupona. Hakika wewe unakuwa kwangu kama udanganyifu,+ kama maji yasiyotegemeka.+