Ayubu 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nguvu zake zinaliwa na njaa,Na msiba+ husimama tayari ili kumfanya achechemee. Isaya 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye ataiangalia dunia, na, lo! taabu na giza,+ weusi, nyakati ngumu na weusi bila mwangaza.+ Yuda 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 mawimbi yasiyotulia ya bahari ambayo yanatoa povu la visababishi vyao wenyewe vya aibu;+ nyota ambazo hazina njia kamili iliyowekwa, ambazo zimewekewa akiba ya weusi wa giza milele.+
13 mawimbi yasiyotulia ya bahari ambayo yanatoa povu la visababishi vyao wenyewe vya aibu;+ nyota ambazo hazina njia kamili iliyowekwa, ambazo zimewekewa akiba ya weusi wa giza milele.+