Ayubu 42:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na ikawa baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, ndipo Yehova akamwambia Elifazi Mtemani:“Hasira yangu imewaka juu yako na rafiki zako wawili,+ kwa maana ninyi hamkusema mambo ya kweli+ kunihusu mimi kama mtumishi wangu Ayubu. Methali 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mahali ambapo mtawala anasikiliza maneno ya uwongo, wote wanaomhudumia watakuwa waovu.+ Methali 31:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hana wasiwasi juu ya watu wa nyumbani mwake kwa sababu ya theluji, kwa maana watu wote wa nyumbani mwake wamevaa mavazi mawili.+
7 Na ikawa baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, ndipo Yehova akamwambia Elifazi Mtemani:“Hasira yangu imewaka juu yako na rafiki zako wawili,+ kwa maana ninyi hamkusema mambo ya kweli+ kunihusu mimi kama mtumishi wangu Ayubu.
21 Hana wasiwasi juu ya watu wa nyumbani mwake kwa sababu ya theluji, kwa maana watu wote wa nyumbani mwake wamevaa mavazi mawili.+