Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nawe utasema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Ikiwa mtu yeyote atamlaani Mungu wake, basi atajibu kwa dhambi yake.

  • Ayubu 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini, ili kuwe na badiliko, tafadhali nyoosha mkono wako, uguse kila kitu alicho nacho, uone kama hatakulaani wewe mbele za uso wako.”+

  • Ufunuo 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nikaisikia sauti kubwa mbinguni ikisema:

      “Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu+ na ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake,+ kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki