16 Alipoendelea kukawia,+ ndipo kwa huruma za Yehova kwake,+ wale wanaume wakaushika mkono wake na mkono wa mke wake na mikono ya binti zake wawili. Wakamtoa nje na kumweka nje ya jiji.+
9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+