23 Basi wale vijana waliokuwa wamefanya upelelezi wakaingia, wakamtoa nje Rahabu na baba yake na mama yake na ndugu zake na wote waliokuwa wake, ndiyo, wakawatoa nje jamaa zake wote;+ nao wakawaweka nje ya kambi ya Israeli.
9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+