Yoshua 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi wale vijana wapelelezi wakaenda kumtoa Rahabu, baba yake, mama yake, ndugu zake, na watu wote wa nyumba yake; naam, wakaitoa nje familia yake yote,+ na kuileta salama salimini nje ya kambi ya Waisraeli.
23 Basi wale vijana wapelelezi wakaenda kumtoa Rahabu, baba yake, mama yake, ndugu zake, na watu wote wa nyumba yake; naam, wakaitoa nje familia yake yote,+ na kuileta salama salimini nje ya kambi ya Waisraeli.