Zaburi 104:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Daima yanawapa maji ya kunywa wanyama wote wa porini;+Punda-milia+ hukata kiu yao kwa ukawaida. Yeremia 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na punda-milia+ wamesimama tuli juu ya vilima vitupu; wamevutavuta upepo kama mbwa-mwitu; macho yao hayaoni sawasawa kwa sababu hakuna majani.+ Isaya 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana mnara wa makao umeachwa,+ kelele za jiji zimeachwa; Ofeli+ na mnara wa mlinzi umekuwa nyika, kwa wakati usio na kipimo furaha ya punda-milia, malisho ya makundi;
6 Na punda-milia+ wamesimama tuli juu ya vilima vitupu; wamevutavuta upepo kama mbwa-mwitu; macho yao hayaoni sawasawa kwa sababu hakuna majani.+
14 Kwa maana mnara wa makao umeachwa,+ kelele za jiji zimeachwa; Ofeli+ na mnara wa mlinzi umekuwa nyika, kwa wakati usio na kipimo furaha ya punda-milia, malisho ya makundi;