Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 104:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Daima yanawapa maji ya kunywa wanyama wote wa porini;+

      Punda-milia+ hukata kiu yao kwa ukawaida.

  • Yeremia 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na punda-milia+ wamesimama tuli juu ya vilima vitupu; wamevutavuta upepo kama mbwa-mwitu; macho yao hayaoni sawasawa kwa sababu hakuna majani.+

  • Isaya 32:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana mnara wa makao umeachwa,+ kelele za jiji zimeachwa; Ofeli+ na mnara wa mlinzi umekuwa nyika, kwa wakati usio na kipimo furaha ya punda-milia, malisho ya makundi;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki