Zaburi 139:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kama ningepanda mbinguni, ungekuwa huko;+Na kama ningetandika kitanda changu katika Kaburi,* tazama! ungekuwa huko.+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
8 Kama ningepanda mbinguni, ungekuwa huko;+Na kama ningetandika kitanda changu katika Kaburi,* tazama! ungekuwa huko.+
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+