Mathayo 12:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+ Luka 6:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Mtu mwema hutokeza mema katika hazina njema+ ya moyo wake, lakini mtu mwovu hutokeza maovu katika hazina yake mbovu; kwa maana kutokana na wingi wa moyo kinywa chake husema.+
34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+
45 Mtu mwema hutokeza mema katika hazina njema+ ya moyo wake, lakini mtu mwovu hutokeza maovu katika hazina yake mbovu; kwa maana kutokana na wingi wa moyo kinywa chake husema.+