Zaburi 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana Wewe ndiye uliyenitoa tumboni,+Wewe ndiye unayenifanya niwe na tegemeo nilipokuwa kwenye maziwa ya mama yangu.+ Luka 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 kwa sababu, tazameni! siku zinakuja ambapo watu watasema, ‘Wenye furaha ni wanawake walio tasa, na matumbo ya uzazi ambayo hayakuzaa na maziwa ambayo hayakunyonyesha!’+
9 Kwa maana Wewe ndiye uliyenitoa tumboni,+Wewe ndiye unayenifanya niwe na tegemeo nilipokuwa kwenye maziwa ya mama yangu.+
29 kwa sababu, tazameni! siku zinakuja ambapo watu watasema, ‘Wenye furaha ni wanawake walio tasa, na matumbo ya uzazi ambayo hayakuzaa na maziwa ambayo hayakunyonyesha!’+