Mwanzo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+ Ayubu 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakika ni roho iliyo ndani ya wanadamu wanaoweza kufaNa pumzi ya Mweza-Yote ndiyo inayowapa wao uelewaji.+ Mhubiri 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+ Matendo 17:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 wala hatumikiwi kwa mikono ya binadamu kana kwamba anahitaji kitu chochote,+ kwa sababu yeye mwenyewe huwapa watu wote uhai+ na pumzi+ na vitu vyote.
7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+
8 Hakika ni roho iliyo ndani ya wanadamu wanaoweza kufaNa pumzi ya Mweza-Yote ndiyo inayowapa wao uelewaji.+
7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+
25 wala hatumikiwi kwa mikono ya binadamu kana kwamba anahitaji kitu chochote,+ kwa sababu yeye mwenyewe huwapa watu wote uhai+ na pumzi+ na vitu vyote.