Ayubu 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nilivaa uadilifu, nao ulikuwa ukinivika.+Haki yangu ilikuwa kama koti lisilo na mikono—na kilemba. Methali 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kila njia ya mwanadamu imenyooka machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anaipima mioyo.+
14 Nilivaa uadilifu, nao ulikuwa ukinivika.+Haki yangu ilikuwa kama koti lisilo na mikono—na kilemba.