Methali 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, asije akakuchukia.+ Mpe karipio mtu mwenye hekima naye atakupenda.+ Wagalatia 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, Kefa+ alipokuja Antiokia,+ nilimpinga uso kwa uso, kwa sababu alistahili kuhukumiwa hatia.+
8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, asije akakuchukia.+ Mpe karipio mtu mwenye hekima naye atakupenda.+
11 Hata hivyo, Kefa+ alipokuja Antiokia,+ nilimpinga uso kwa uso, kwa sababu alistahili kuhukumiwa hatia.+