Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Mungu wa kweli akamwambia katika ndoto: “Mimi pia nimejua kwamba katika unyoofu wa moyo wako umefanya hili,+ nami pia nilikuwa nikikuzuia usinitendee dhambi.+ Ndiyo sababu mimi sikukuruhusu umguse.+

  • Mathayo 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hata hivyo, kwa sababu walipewa onyo la kimungu+ katika ndoto wasirudi kwa Herode, wakaondoka kwenda nchi yao kwa njia nyingine.

  • Mathayo 27:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Zaidi ya hayo, alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mke wake akampelekea habari, akisema: “Usijihusishe kamwe na mtu huyo mwadilifu,+ kwa maana niliteseka sana leo katika ndoto+ kwa sababu yake.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki