Mathayo 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini aliposikia kwamba Arkelao alikuwa akitawala akiwa mfalme wa Yudea badala ya Herode baba yake, akaogopa kuondoka kwenda huko. Zaidi ya hayo, kwa kuwa alipewa onyo la kimungu katika ndoto,+ akaondoka, akaingia eneo la Galilaya,+
22 Lakini aliposikia kwamba Arkelao alikuwa akitawala akiwa mfalme wa Yudea badala ya Herode baba yake, akaogopa kuondoka kwenda huko. Zaidi ya hayo, kwa kuwa alipewa onyo la kimungu katika ndoto,+ akaondoka, akaingia eneo la Galilaya,+