Marko 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Baada ya siku hizo Yesu akaja kutoka Nazareti ya Galilaya, Yohana akambatiza katika Yordani.+ Luka 2:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa hiyo walipokuwa wametimiza mambo yote kulingana na sheria+ ya Yehova, wakarudi kuingia Galilaya kwenye jiji la kwao la Nazareti.+
39 Kwa hiyo walipokuwa wametimiza mambo yote kulingana na sheria+ ya Yehova, wakarudi kuingia Galilaya kwenye jiji la kwao la Nazareti.+