11 Sasa watu hawa walikuwa wasikivu kuliko wale wa Thesalonike, kwa maana walilipokea neno kwa hamu kubwa zaidi ya akili, wakiyachunguza+ Maandiko+ kwa uangalifu kila siku ili kuona kama mambo hayo ndivyo yalivyo.+
7 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo roho+ inayaambia makutaniko: Yule ambaye atashinda+ nitampa ruhusa ya kula matunda kutokana na ule mti wa uzima,+ ulio katika paradiso ya Mungu.’