Zaburi 73:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lo! Jinsi wamekuwa kitu cha kushangaza ghafula!+Jinsi wameufikia mwisho wao, wamemalizwa kwa matisho ya ghafula! Matendo 12:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Papo hapo malaika wa Yehova akampiga,+ kwa sababu hakumpa Mungu utukufu;+ naye akaliwa na wadudu akakata pumzi.
19 Lo! Jinsi wamekuwa kitu cha kushangaza ghafula!+Jinsi wameufikia mwisho wao, wamemalizwa kwa matisho ya ghafula!
23 Papo hapo malaika wa Yehova akampiga,+ kwa sababu hakumpa Mungu utukufu;+ naye akaliwa na wadudu akakata pumzi.