11 Tazama! Tunawatangaza kuwa wenye furaha wale ambao wamevumilia.+ Mmesikia juu ya uvumilivu wa Ayubu+ nanyi mmeona matokeo ambayo Yehova alileta,+ kwamba Yehova ni mwenye upendo mwororo sana na mwenye rehema.+
7 ili sifa iliyojaribiwa ya imani+ yenu, iliyo na thamani kubwa zaidi kuliko dhahabu ambayo huharibika ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto,+ ipatikane kuwa sababu ya sifa na utukufu na heshima wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.