Zaburi 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ee Yehova, katika hasira yako usinikaripie,+Na katika ghadhabu yako usinirekebishe.+ Waebrania 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+
6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+