Zaburi 89:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Wote wanaopita njiani wamempora;+Amekuwa shutuma kwa jirani zake.+ Yeremia 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mali yako na hazina zako nitazitoa ziporwe,+ si kwa sababu zimelipiwa bei yake, bali kwa sababu ya dhambi zako zote, katika maeneo yako yote.+
13 Mali yako na hazina zako nitazitoa ziporwe,+ si kwa sababu zimelipiwa bei yake, bali kwa sababu ya dhambi zako zote, katika maeneo yako yote.+