Zaburi 44:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wewe unaendelea kutufanya tugeuke kutoka kwa adui zetu,+Na wale wanaotuchukia vikali wamejinyakulia vitu.+ Yeremia 50:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Israeli ni kondoo wa kundi aliyetawanywa.+ Simba wenyewe ndio wamemtawanya.+ Mara ya kwanza mfalme wa Ashuru amemla,+ na mara hii ya mwisho Nebukadreza mfalme wa Babiloni ameitafuna mifupa yake.+
10 Wewe unaendelea kutufanya tugeuke kutoka kwa adui zetu,+Na wale wanaotuchukia vikali wamejinyakulia vitu.+
17 “Israeli ni kondoo wa kundi aliyetawanywa.+ Simba wenyewe ndio wamemtawanya.+ Mara ya kwanza mfalme wa Ashuru amemla,+ na mara hii ya mwisho Nebukadreza mfalme wa Babiloni ameitafuna mifupa yake.+