1 Wafalme 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Bath-sheba akainama na kumsujudia+ mfalme, naye mfalme akasema: “Unaomba jambo gani?”+ Wafilipi 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ili katika jina la Yesu kila goti lipigwe la wale walio mbinguni na wale walio duniani na wale walio chini ya nchi,+
10 ili katika jina la Yesu kila goti lipigwe la wale walio mbinguni na wale walio duniani na wale walio chini ya nchi,+