Zaburi 85:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Utukusanye tena, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Na uache kutukasirikia.+ Isaya 55:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+ Malaki 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atageuza moyo wa akina baba urudi kwa wana, na moyo wa wana urudi kwa akina baba; ili nisije kuipiga dunia na kuiangamiza.”+ Luka 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 naye atawarudisha wengi wa wana wa Israeli kwa Yehova+ Mungu wao.
7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+
6 Naye atageuza moyo wa akina baba urudi kwa wana, na moyo wa wana urudi kwa akina baba; ili nisije kuipiga dunia na kuiangamiza.”+