20 Yehova hatataka kumsamehe,+ lakini hasira ya Yehova+ na ukali+ wake utatoa moshi juu ya mtu huyo,+ na kiapo chote ambacho kimeandikwa katika kitabu hiki+ hakika kitamkalia, na Yehova kwa kweli atafutilia mbali jina lake kutoka chini ya mbingu.
17 Pia, atakwenda mbele zake kwa roho na nguvu za Eliya,+ ili kurudisha mioyo+ ya akina baba kwa watoto na wale wasiotii kwenye hekima inayotumika ya waadilifu, ili kuweka tayari kwa ajili ya Yehova+ watu waliotayarishwa.”+