Zaburi 78:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Bali alichagua kabila la Yuda,+Mlima Sayuni, ambao aliupenda.+ Yoeli 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na itakuwa kwamba kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokoka;+ kwa maana katika Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwako wale walioponyoka,+ kama vile ambavyo Yehova amesema, na kati ya waokokaji, ambao Yehova anaita.”+
32 Na itakuwa kwamba kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokoka;+ kwa maana katika Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwako wale walioponyoka,+ kama vile ambavyo Yehova amesema, na kati ya waokokaji, ambao Yehova anaita.”+