13 Kwa hiyo, ikiwa ninyi, mjapokuwa waovu, mnajua jinsi ya kuwapa watoto+ wenu zawadi zilizo njema, je, Baba aliye mbinguni hatawapa hata zaidi roho takatifu+ wale wanaomwomba!”
9 Hata hivyo, ninyi hampatani na mwili, bali mnapatana na roho,+ ikiwa kweli roho ya Mungu inakaa ndani yenu.+ Lakini ikiwa mtu yeyote hana roho+ ya Kristo, mtu huyo si wake.