Isaya 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+