Luka 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini wakiwa pamoja na umati, wao wote wakapaaza sauti, wakisema: “Mwondolee mbali huyu,+ lakini tufungulie Baraba!”+
18 Lakini wakiwa pamoja na umati, wao wote wakapaaza sauti, wakisema: “Mwondolee mbali huyu,+ lakini tufungulie Baraba!”+