Zaburi 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+ Zaburi 98:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mpigieni Yehova kelele za ushindi, enyi nyote watu wa dunia.+Changamkeni na kupiga vigelegele kwa shangwe na kupiga muziki.+
33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+
4 Mpigieni Yehova kelele za ushindi, enyi nyote watu wa dunia.+Changamkeni na kupiga vigelegele kwa shangwe na kupiga muziki.+