29 Wakati mwanadamu atakaposimama ili kukufuatilia na kuitafuta nafsi yako, nafsi ya bwana wangu itakuwa imefungwa katika mfuko wa uzima+ pamoja na Yehova Mungu wako;+ lakini nafsi ya adui zako yeye ataitupa mbali kama kutoka ndani ya tundu la kombeo.+
28 Kwa maana kupitia kwake tuna uhai na tunaenda na kuwako,+ hata kama vile ambavyo watu fulani ambao ni washairi+ kati yenu wamesema, ‘Kwa maana sisi pia ni uzao wake.’