Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Uwaokoe watu wako, na kuubariki urithi wako;+

      Na uwachunge na kuwabeba mpaka wakati usio na kipimo.+

  • 2 Wakorintho 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Fadhili zisizostahiliwa za Bwana Yesu Kristo na upendo wa Mungu na ushirika katika roho takatifu ziwe pamoja na ninyi nyote.+

  • Waefeso 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki