Zaburi 28:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uwaokoe watu wako, na kuubariki urithi wako;+Na uwachunge na kuwabeba mpaka wakati usio na kipimo.+ 2 Wakorintho 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fadhili zisizostahiliwa za Bwana Yesu Kristo na upendo wa Mungu na ushirika katika roho takatifu ziwe pamoja na ninyi nyote.+ Waefeso 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,
9 Uwaokoe watu wako, na kuubariki urithi wako;+Na uwachunge na kuwabeba mpaka wakati usio na kipimo.+
14 Fadhili zisizostahiliwa za Bwana Yesu Kristo na upendo wa Mungu na ushirika katika roho takatifu ziwe pamoja na ninyi nyote.+
3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,