Kutoka 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye Yehova akafanya hivyo; na makundi makubwa ya mainzi yakaanza kuvamia nyumba ya Farao na nyumba za watumishi wake na nchi yote ya Misri.+ Nchi ikaharibika kwa sababu ya mainzi hao.+ Zaburi 105:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Alisema mainzi waingie,+Na chawa katika maeneo yao yote.+
24 Naye Yehova akafanya hivyo; na makundi makubwa ya mainzi yakaanza kuvamia nyumba ya Farao na nyumba za watumishi wake na nchi yote ya Misri.+ Nchi ikaharibika kwa sababu ya mainzi hao.+