Kutoka 32:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na sasa, njoo, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia juu yake. Tazama! Malaika wangu ataenda mbele yako,+ na siku ile nitakayoleta adhabu hakika mimi nitaleta adhabu juu yao kwa sababu ya dhambi yao.”+ Nehemia 9:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nao wafalme wetu, wakuu wetu, makuhani wetu na mababu zetu,+ hawakutenda sheria yako,+ wala kusikiliza amri zako+ wala shuhuda zako ambazo ulitumia kutoa ushahidi+ juu yao.
34 Na sasa, njoo, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia juu yake. Tazama! Malaika wangu ataenda mbele yako,+ na siku ile nitakayoleta adhabu hakika mimi nitaleta adhabu juu yao kwa sababu ya dhambi yao.”+
34 Nao wafalme wetu, wakuu wetu, makuhani wetu na mababu zetu,+ hawakutenda sheria yako,+ wala kusikiliza amri zako+ wala shuhuda zako ambazo ulitumia kutoa ushahidi+ juu yao.