Zaburi 66:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa kweli Mungu amesikia;+Ameisikiliza sauti ya sala yangu.+ Zaburi 116:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 116 Ninajawa na upendo, kwa sababu Yehova husikia+Sauti yangu, kusihi kwangu.+