Zaburi 25:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Unielekezee uso wako, na unionyeshe kibali;+Kwa maana mimi niko peke yangu nami ni mwenye kuteseka.+ Zaburi 69:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Unijibu, Ee Yehova, kwa maana fadhili zako zenye upendo ni njema.+Kulingana na wingi wa rehema zako ugeuke kunielekea,+
16 Unielekezee uso wako, na unionyeshe kibali;+Kwa maana mimi niko peke yangu nami ni mwenye kuteseka.+
16 Unijibu, Ee Yehova, kwa maana fadhili zako zenye upendo ni njema.+Kulingana na wingi wa rehema zako ugeuke kunielekea,+