Zaburi 37:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ijapokuwa huenda akaanguka, yeye hatatupwa chini,+Kwa maana Yehova anautegemeza mkono wake.+ Mathayo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na kumwambia: “Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, jitupe chini;+ kwa maana imeandikwa, ‘Atawaagiza malaika zake kukuhusu wewe, nao watakuchukua mikononi mwao, ili usipate kamwe kuugonga mguu wako juu ya jiwe.’ ”+ 1 Petro 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Hawa wanajikwaa kwa sababu si watiifu kwa lile neno. Kwa sababu hiyo pia waliwekwa rasmi.+
6 na kumwambia: “Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, jitupe chini;+ kwa maana imeandikwa, ‘Atawaagiza malaika zake kukuhusu wewe, nao watakuchukua mikononi mwao, ili usipate kamwe kuugonga mguu wako juu ya jiwe.’ ”+
8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Hawa wanajikwaa kwa sababu si watiifu kwa lile neno. Kwa sababu hiyo pia waliwekwa rasmi.+