Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ijapokuwa huenda akaanguka, yeye hatatupwa chini,+

      Kwa maana Yehova anautegemeza mkono wake.+

  • Mathayo 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na kumwambia: “Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, jitupe chini;+ kwa maana imeandikwa, ‘Atawaagiza malaika zake kukuhusu wewe, nao watakuchukua mikononi mwao, ili usipate kamwe kuugonga mguu wako juu ya jiwe.’ ”+

  • 1 Petro 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Hawa wanajikwaa kwa sababu si watiifu kwa lile neno. Kwa sababu hiyo pia waliwekwa rasmi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki