Nehemia 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo moyo wangu ukatafakari ndani yangu, nami nikaanza kuwalaumu+ watu wenye vyeo na watawala-wasaidizi, na kuwaambia: “Mnatoza riba,+ kila mmoja kutoka kwa ndugu yake mwenyewe.” Pia nikapanga kusanyiko kubwa kwa sababu yao.+ Yohana 7:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 “Je, sheria yetu humhukumu mtu isipokuwa kwanza iwe imesikia+ kutoka kwake na kujua analofanya?”
7 Kwa hiyo moyo wangu ukatafakari ndani yangu, nami nikaanza kuwalaumu+ watu wenye vyeo na watawala-wasaidizi, na kuwaambia: “Mnatoza riba,+ kila mmoja kutoka kwa ndugu yake mwenyewe.” Pia nikapanga kusanyiko kubwa kwa sababu yao.+